Social Icons

Pages

Tuesday, July 1, 2014

Trending tonight: Comment ya Ray C kumtaka Tid kuongea nae yamcharua Myama..................

Kikubwa kinachoendelea usiku huu, ni majibu aliyoyatoa TID kwa msanii mwenzake na mwanaharakati katika kukomesha matumizi ya madawa ya kulevya Ray C.
 
 
Ingawa haijajulikana rasmi ni nini kilicho muudhi Mzee Warioba a.k.a TID, katika comment aliyoiandika Ray C katika moja ya picha zake alizozituma Instagram
"Come lets talk Tid ur the best musician in east Africa pls lets talk"
TID alionekana kukerwa na Comment hiyo na kumpa makavu Ray C kwa kumtusi right under her comment
 

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates