Kikubwa kinachoendelea usiku huu, ni majibu aliyoyatoa TID kwa msanii
mwenzake na mwanaharakati katika kukomesha matumizi ya madawa ya kulevya
Ray C.
Ingawa haijajulikana rasmi ni nini kilicho muudhi Mzee Warioba a.k.a
TID, katika comment aliyoiandika Ray C katika moja ya picha zake
alizozituma Instagram
"Come lets talk Tid ur the best musician in east Africa pls lets talk"
TID alionekana kukerwa na Comment hiyo na kumpa makavu Ray C kwa kumtusi right under her comment


No comments:
Post a Comment