Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt,
Pamela Kikuli akionyesha Kikombe alichoshinda kupitia bia ya Ndovu
kutoka katika Kampuni ya Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa
kama bia yenye ubora wa kimataifa wakati wa hafla ya kupongezana na
wadau wa bia hiyo iliyofanyika Dar es Slaam jana.
Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt,
Pamela Kikuli na Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Nchini(TBL)
wakionyesha Kikombe walichoshinda kupitia bia ya Ndovukutoka katika
Kampuni ya Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa kama bia yenye
ubora wa kimataifa wakati wa hafla ya kupongezanma na wadau wa bia hiyo
iliyofanyika Dar es Slaam jana.
Kundi la wasanii wa THT wakitumbuiza wakati wa hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Masoko TBL,Kushila na Meneja masoko TBL, Fimbo Butallah wakizungumza na wadau
Meneja masoko TBL, Fimbo Butallah na Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt wakiteta jambo.
Vanessa Mdee akitoa burudani kwa wageni waalikwa
No comments:
Post a Comment