Dear Melanie Bartz
Tunahukuru
kwa barua pepe ya tarehe 17/10/2014 Tunapenda kuomba Samahani kwa kuchelewa
kuijibu mapema kutokana na sababu ya kiafya kuwa mbaya kutokana na ajali ya
pikipiki iliyopelekea kulazwa muhimbili Hospitali ya Taifa na Kufanyia
Operation ya Kichwa ambayo ilidumu kwa miezi mitatu na sasa hali yangu ni nzuri
na Kwa Heshima na Taadhima napenda kuchukua nafasi hii kujibu maswali ya mradi
wa dipensari ya Kijiji cha Tulila kama ifutavyo
1.
Rasimali watu
Kufatua
matofali 30,000 @Tsh 100 *30,000 = 3,000,000
Kupanga
jiko na kuchoma Tsh 1,500,000
Kubebelea
tofali kupeleka sehemu ya ujenzi Tsh 1,000,000
Kupasua
mawe na kokoto Tunaitaji tripu 10 kila
tripu Tsh 30,000 *10 =300,000
Mchanga
Kwa ajili ya ujenzi kila tripu Tsh 80,000 *10 = 800,000
Kununua
Ramani ya dispenary Tsh 500,000
Kununua
Kiwaanja cha ujenzi wa dispensary Tsh 1,000,000
Tunaitaji
majengo madogo matatu
Ø
Maabara
Ø
Utawala
Chakula na Usafiri Tsh 1,500,000
Emergency cost Tsh 1,400,000
Total cost of Euro 5000 € = Tsh
11,000,000/=
2.
Shughuli za uendeshaji wa dispensary utatokana na gharama za uchangiaji wa
matibabu yatakayo tolewa
3.
Dawa zitapatikana kutokana na fedha za uchangiaji ili kununulia dawa kwenye
maduka ya dawa ya jumla yalioko Wilayani
Yours faithfully
Edward Putuka,