Social Icons

Pages

Saturday, August 9, 2014

Huyu ndiye Super Nyota Divaz kwa Mkoa wa Mwanza........................




21dnc

Mwanza hatimae wametoa Super Nyota wao ambaye amepatikana leo August 07 kwenye viwanja vya Jembe ni Jembe ambapo mshindi aliyeibuka ni Honeya ambae kwa aina yake ya ushiriki usingeweza kuamini kama atashinda.
Miongoni mwa vitu ambavyo vimesemwa na mtoa fomu hizo kuwa msichana huyo kwanza alichelewa kuchukua fomu na kujaza na lingine ambalo limewashangaza hata majaji ni pale alipokuja tayari wenzake wameanza lakini kwa alichokifanya hakuna mtu aliyeamini.
Nakumbuka Fetty ambaye ndiye alikua Jaji mkuu alimuuliza kama aliwahi kuimba sehemu yoyote ambaye inamfanya kujua kupangilia muziki wake kama muziki wa bendi lakini msichana huyo alisema hajawahi ingawa ana single aliwahi kurekodi.
Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa asubuhi ya leo August 07.

DSC_0394
DSC_0395
2dnc

13dnc
6dnc
3dnc

22dnc
26dnc
Mshindi wa Super Nyota Divaz Mwanza 2014 Honea akiimba.
35dnc
Baadhi ya washiriki wa Fiesta Super Nyota Divaz Mwanza 2014.
37dnc
39dnc
Muda wa kuwajua tatu bora ulikua huu.
43dnc
79dnc
83dnc
Hawa ni washindi wa nafasi ya kwanza na ya pili.
86dnc

Mshindi wa kwanza wa Super Nyota Divaz Mwanza 2014 Honea
106dnc
110dnc
115dnc

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates