Millard Ayo
Na haya ndo maneno yake>>>>
Watu wangu!! kwanza namshukuru
Mungu muweza wa yote... shukrani
kubwa zinazofata ni zako mtu wangu
ulienipigia kura, uliefanya kampeni
kwenye page yako na kunitag na hata
ulieshindwa kupiga kura lakini love
yako ilikua kwangu! nyinyi ndio
mmeifanya # June272014 kuwa siku
yangu nyingine kubwa baada ya
kushinda tuzo zote mbili nilizokua
nawania ktk # tuzozawatu2014
# MtangazajiAnaependwa na
# kipindicharediokinachopendwa
asanteni yani watu wangu! Huu ni
Upendo mkubwa sana kwangu! ahadi
yangu ni ileile # damdam # milele mtu
wako wa nguvu na watu wake wa
nguvu! Love kwa watu wangu @bdozen
na Maryam Kitosi tuliokua pamoja
kwenye kuwania, naitambua kazi yenu
watu wangu.
No comments:
Post a Comment