Social Icons

Pages

Wednesday, July 2, 2014

Listi ya wachezaji wanaongoza kwa magoli kombe la dunia mpaka hatua ya 16 bora


a-look-at-the-best-players-of-the-2014-world-cup-so-far

Michuano ya kombe la dunia imefikia kwenye hatua ya 16 bora ikielekea nane bora, mpaka sasa fainali hizi za mwaka huu zinaelekea kuwa moja ya michuano ya kombe la dunia ambayo ndani yake kumekuwepo na magoli mengi, mpaka kufikia mechi za jana tayari magoli zaidi ya 150 yalikuwa yashatinga nyavuni.
Mshambualiaji wa Colombia James Rodriguez ndio anaongoza mpaka sasa akiwa na magoli matano, akifuatiwa na Neymar, Messi, Muller, ambao wote wana magoli manne kila mmoja, Arjen Robben, Van Persie na Benzema wanafuatia wakiwa na magoli matatu.
Listi kamili ya wafungaji bora wa World Cup


Untitled copy

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates